Friday, June 10, 2016
DUKA LA VIFAA LA AZAM FC LAZINDULIWA LEO NDANI YA BOTI YA KILIMANJARO 6.
Wafanyakazi
wa Duka la Azam wakionyesha baadhi ya Jezi za Timu ya Azam
zinazopatikana katika Duka Maalum lililofungulia ndani yaboti ya
Kilimanjaro 6 leo.
Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba akizungumza Michuz TV wakati wa uzinduzi
wa duka la vifaa vya vya michezo pamoja na vitu mbalimbali vya Azam
duka hilo limezinduliwa ndani ya boti ya Kilimanjaro 6 leo.
Wafanyakazi
wa Duka la Azam wakionyesha baadhi ya skafu na vitamaa vya Timu ya
Azam zinazopatikana katika Duka Maalum lililozinduliwa ndani ya boti ya
Kilimanjaro 6 leo
SERIKALI YAPATA GAWIO LA SH. BILIONI 23 KUTOKA KAMPUNI ZA PUMA ENERGY, TIPER (T) na NMB BANK PLC
Waziri wa Fedha na
Mipango, Dkt Philip Mpango(Mb), (Katikati) akimwelekeza jambo Msajili wa Hazina
Laurence Mafuru, wakati wa Hafla fupi ya serikali kukabidhiwa Hundi za Mfano
zenye thamani ya shilingi Bilioni 23 kutoka Kampuni za Puma Energy, Tiper (T) na NBC Bank
PLC, ambazo imewekeza hisa zake, katika ukumbi wa Hazina (Treasury Squire) Mjini
Dodoma 
Friday, June 3, 2016
LEO KATIKA BUNGE JUNI 3,2016.
=============================================================
JK AOMBELEZA MSIBA WA RAIS WA SAHARA MAGAHARIBI
===============================================
KATIBU MKUU CHAMA CHA KIKOMINISTI BW. LIU ZHIJUN AKAMILISHA ZIARA YAKE ZANZIBAR NA KUELEKEA DAR-ES SAALAM
Banc ABC yaanzisha huduma ya kukuza biashara Afrika
=========================================
HEINEKEN HOSTS THE BIGGEST FOOTBALL PARTIES IN DAR TO #CHAMPIONTHEMATCH
===========================================
NAIBU WAZIRI WA HABARI MGENI RASMI AZANIA BANK KIDS RUN 2016 YATAKAYOFANYIKA KESHO KUTWA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR E SALAAM
============================================
KAMPUNI YA SAFARI INDOOR DIGITAL (SID) KUTOA ELIMU KUPITIA MABASI.
==================================================
MADIWANI WA HALMASHAURI YA MJI WA KAHAMA WAUPONGEZA MGODI WA BUZWAGI




==============================================
diwani wa mwanga kusini mkoani Kigoma akishiriki shughuli za kijamii
============================================
ACT WAZALENDO WATANGAZA SIKU RASMI YA MAPOKEZI YA KIONGOZI WAO ZITTO NA WALE WA UKAWA
SHIWATA kumkabidhi Samatta eneo Jumapili
MAKAMU WA RAIS KUZINDUA JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI,
Wazanzibari wahimizwa kupanda miti
SERIKALI YATOA UFAFANUZI KUHUSU TUHUMA ZILIZOTOLEWA NA MWANDISHI WA " THE ECONOMIST" GAZETI LA KIINGEREZA.
===================================================
Subscribe to:
Posts (Atom)