Monday, April 13, 2015
Thursday, March 19, 2015
ZINDUKA Vocational Training Center Students:
|
Also the program established the tree planting in Nyamuswa area.
|
Wednesday, March 18, 2015
Serikali yajidhatiti Kudhibiti Makosa ya Utakatishaji fedha haramu Nchini- AG Masaju
Ndugu Masaju pia ameeleza kuwa
wahalifu wanatumia fursa iliyoletwa na maendeleo ya mifumo ya
Mawasiliano na Teknolojia (TEHAMA) katika biashara mbalimbali
kutakatisha fedha zinazopatikana kwa njia ya uhalifu na kuzisafirisha
haraka katika nchi nyingine ili kuficha uhalisia wa mali hizo kwa
dhamira ya kuepuka kukamatwa na vyombo vya uchunguzi hapa nchini ambapo
ametoa rai kwa washiriki wa mafunzo kutumia vizuri fursa waliyoipata
kujifunza na kupata majibu ya changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo
katika utendaji kazi ili kuongeza kuongeza ufanisi na kuhakikisha
wahalifu hawafaidiki na uhalifu wanaoufanya.
Awali, akimkaribisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Bw.Ayub Mwenda ambaye ni Mkurugenzi Msaidizi anayeshugulikia Usimamizi na uratibu wa uendeshaji wa Mashtaka ya Jinai kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali alieleza kuwa Serikali inatoa uzito mkubwa katika suala la kukabiliana na uhalifu na mashauri yanayohusu masuala ya utakatishaji fedha hivyo nguvu na uelewa wa pamoja vinahitajika kutoka kwa wadau wote ikiwa ni pamoja na kuendelea kushirikiana ili kujiimarisha zaidi katika eneo hilo.
Wednesday, March 11, 2015
Serikali kuendelea kuandaa mazingira bora ya wavuvi Zanzibar
bdilah
Jihad Hassan amesema kuwa Serikali itaendelea kuandaa mazingira bora ya
wavuvi ikiwa ni pamoja na kujenga masoko ya kisasa ili kuimarisha
sekta ya uvuvi na kuzalisha ajira kwa wananchi .
Amesema kuwa wananchi wengi wa Visiwa vya Zanzibar
wanategemea sekta ya Uvuvi kuendesha shughuli zao za uchumi na kueleza
kwamba jumla ya watu 34,000 wamejiajiri kupitia sekta ya uvuvi ambapo
kupatikana kwa masoko ya kisasa kutaongeza ajira kwa wananchi .
Kauli hiyo ameitoa wakati akikabadhi soko la Tumbe Wilaya ya Micheweni kwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazni Pemba , ambalo limejengwa na kampuni ya Ngogo ya Iringa na kugharimu zaidi ya shilingi milioni 712.
Aidha waziri jihad amewataka wananchi wa Wilaya ya Micheweni kulitumia soko hilo kwa kufuata mila , silka na tamaduni wa watu wa Tumbe .
Kauli hiyo ameitoa wakati akikabadhi soko la Tumbe Wilaya ya Micheweni kwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazni Pemba , ambalo limejengwa na kampuni ya Ngogo ya Iringa na kugharimu zaidi ya shilingi milioni 712.
Aidha waziri jihad amewataka wananchi wa Wilaya ya Micheweni kulitumia soko hilo kwa kufuata mila , silka na tamaduni wa watu wa Tumbe .
“Tunatambua kwamba soko hili
liko sehemu za mkusanyika wa watu wengi kutoka sehemu tofauti za Pemba ,
hivyo basi mnatakiwa kusimamia na kufuata mila , silka na tamaduni za
wenyeji wa hapa ili kusiwepo na mporomoko wa maadili ya jamii ”
alisisitiza Jihad .
Mapema Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe Omar Khamis Othman
amewashauri wavuvi wa Wilaya ya Micheweni kuhamasishana kulitumia soko
hilo ili liweze kutumika na kukuza uchumi wao na Taifa kwa Ujumla .
Mkutano wa 19 baraza la wawakilishi kuanza jumatano
Na Rahma Khamis na Mwanaisha Moh’d Maelezo-Zanzibar.
Mkutano wa Kumi na Tisa (19) wa
Baraza la Nane (8) la Wawakilishi Zanzibar unatarajiwa kuanza siku ya
Jumatano Tarehe 11 March, 2015 saa 3:00 kamili za asubuhi ambapo miswada
minne ya sheria itawasilishwa na kujadiliwa barazani hapo.
Hayo yameelezwa na Katibu wa Baraza
la Wawakilishi Nd. Yahya Khamis Hamad alipokuwa akizungumza na
Waandishi wa Habari katika Ukumbi wa Baraza hilo huko Chukwani nje
kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Amesema miswada itakayojadiliwa ni
pamoja na Mswada wa Sheria ya kufuata Sheria ya Miradi ya Maridhiano
Namba 1 ya mwaka 1999, Kutunga Sheria kwa ajili ya kuazishwa na
kuendesha mashirikiano baina ya Sekta za Umma na Sekta Binafsi zilizopo
nchini ikiwemo na Kuwasilishwa mbele ya Baraza, Sheria ya Kura ya Maoni
No. 11 ya Mwaka 2013 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa
kifungu 132(2) cha Katiba ya Zanzibar.
Vile vile Katibu huyo
ametanahabahisha kuwa mswada mwengine utakaojadiliwa ni pamoja na
kuanzishwa kwa Baraza la Sensa ya Filamu na Utamduni Zanzibar ambalo
litasaidia kukuza na kulinda utamaduni wa Wazanzibari.
Sambamba na hayo amesema katika
shughuli zitakazoendelea katika Baraza hilo ni pamoja na maswali na
majibu ambayo yataulizwa na kujibiwa na wajumbe wa baraza hilo ambapo
maswali 77 yanatarajiwa kujibiwa katika baraza hilo.
Katibu Yahya amewaomba Wajumbe wa Baraza hilo kufika kwa wakati barazani hapo ili kwenda sambamba na muda kwa lengo la kutimiza majukumu yaliokusudiwa katika mkutano huo.
Balozi wa China akutana na Rais Dk.Shein
MAMA MARIA NYERERE AKANUSHA UVUMI ULIOENEA JANA KUWA AMEFARIKI DUNIA
Kwa hisani ya
Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere leo amezungumza na waandishi wa habari,nyumbani kwake Msasani jijini dar es salaam juu ya uvumi ulioenea nchini kuwa amefariki Dunia.
Mama Maria amewathibitishia watanzania kuwa bado yu hai na mwenye nguvu hivyo wasiwe na hofu nae.
Alisema jana amepokea simu nyingi sana kutoka kwa watu mbalimbali wakiwemo watoto zake, wake wa watoto zake wote, familia yake pamoja na watu mbalimbali ili kumjulia hali.
Alisema jana amepokea simu nyingi sana kutoka kwa watu mbalimbali wakiwemo watoto zake, wake wa watoto zake wote, familia yake pamoja na watu mbalimbali ili kumjulia hali.
Amesema alipopokea taarifa hizo wala hakushtushwa badala
yake alifanya sara kwani uvumi huo wawezekana inatokana na vuguvugu la
uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu, pia utandawazi uliopo wa
sayansi na teknolojia wa karne ya 21.
“jana nilipokea simu nyingi sana kutoka kwa watu
mbalimbali wakiwemo watoto wangu, wake wa watoto zangu, pamoja na
familia,walikuwa wakinisalimia, wengine waliposikia sauti yangu walikata
simu” alisema Mama Maria.
Mama Maria alisema taarifa hizi za kuzushiwa kifo
si mara ya kwanza kwani hata miaka ya nyuma akiwa na hayati baba wa
Taifa, mwalimu Julius Nyerere walipokea taarifa nyingi za uvumi wa kifo.
Mjane wa hayati Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) nyumbani kwake
Msasani jijini dar es salaam leo,juu ya uvumi wa kufariki Dunia ulioenea
jana kupitia simu na mitandao ya kijamii.
Wednesday, January 7, 2015
Jerry Okungu anawashauri Watanzania kutoangukia katika mtego wa vurugu za uchaguzi kama zilizoikumba Kenya:
TANZANIA MUST AVOID FALLING INTO KENYA’S TRAP OF ELECTION VIOLENCE
By Jerry Okungu
Nairobi, Kenya
Three
different newspapers published in Dar es Salaam cannot be wrong
especially if one of them, the oldest, belongs to the CCM. They are all
saying more-or-less the same thing; that there is uncertainty and
anxiety in the air. They are all expressing fear that Bongoland’s
elections may be rigged in favor of the ruling party based on the mood
in the country that seems to be craving for regime change in the land of
Mwalimu Julius Nyerere.
Signs that all is
not well are clearly brought out in the latest opinion results conducted
by Research and Education in Democracy in Tanzania(REDET), a state owned research center housed at the University of Dar es Salaam, Synovate of Kenya and several online surveys conducted by Daily News, Uhuru Publications and ThisDay newspaper published by Reginald Mengi’s outfit.
In
the run-up to the Kenyan elections in 2007, we had a similar scenario
where opinion polls became the centre of vicious debates, claims and
counter claims of doctored results depending on who or which party was
favored or dismissed by the polls. Whenever an opinion poll favored PNU,
other parties and their supporters dismissed it as cooked. On the other
hand, if another pollster published results that favored ODM, other
players routinely dismissed it as bogus.
On
the other hand, the Kenyan public were routinely treated to a measure
of the popularity of presidential candidates and their parties through
the sizes of their rallies that at times were beamed live on
local television stations. Therefore if the polls did not reflect what
the masses saw on TV, they always disputed such results.
Claims
of preplanned rigging of results as already alluded to by Wilbroad Slaa
were typical in Kenya just months before the elections. Plans to use
the police and the provincial administration to be election monitors for
PNU the ruling party were equally on the cards. It was these strange
developments, coupled with public pronouncements that PNU would not
concede defeat that led ODM to announce very early that the party would
only accept defeat if the elections were free and fair. On the other
hand, if the results were rigged, the party would mobilize its huge
following countrywide for mass action to protest the results.
Looking
at the Tanzanian election campaigns this year, there are signs that the
country is reading from Kenya’s script. If already, a CCM high ranking
official has declared that Wilbroad Slaa will not be the fifth Tanzanian
president, it must be because there is something he knows about the
election outcome that other Tanzanians are not privy to.
On
the other hand, the intervention of the military chiefs to warn
Tanzanians against causing chaos must have sent chills down the spines
of many people in that country. Ordinarily, the military in Tanzania
just like in Kenya are supposed to be apolitical in such circumstances.
To meddle in the political arena at such sensitive moments can only
remind us of the Zimbabwe scenario where prior to the elections, the
military came out to announce that they would not mount a military guard
for anybody other than Robert Mugabe.
In
East Africa, Tanzania has had the best history of political stability
despite its population being highly politicized. For this reason, it has
earned the respect of many international organizations because of its
peaceful political transitions. In fact it is only in Tanzania where we
would have had four retired former heads of State had Mwalimu Nyerere
not passed on suddenly in 1979.
Regime
change like we have had in Kenya and Ghana in the recent past is not
something easy to achieve in Africa especially if a whole ruling
political party has to be thrown
out of power. In Tanzania’s case, the task is even more daunting because
CCM is the party that ushered in independence 49 years ago and many
Tanzanians born after independence now nearing their 50s have grown up
knowing only the ruling CCM.
In 2000,
Ghanaians resolved that Jerry Rawlings’ party had to leave power after
two decades. They gave power to John Kufuor’s opposition party. Eight
years later, Ghanaians made another about turn and returned power to
Jerry Rawlings’ party by electing Atta Mills in 2008 as Ghana’s new
president. Such regime change can only take place once multiparty
politics, democratic governance and political maturity has taken root in
society.
In Kenya, the only time we
effected regime change was in 2002 when the nation overwhelmingly voted
KANU out of power after ruling the country for 40 years. Had the
opposition parties not resolved to work together, perhaps this feat
would not have been realized.
As we wait to
see the outcome of Tanzania’s results on October 31, a few facts must
be driven home for our brothers and sisters. They must be reminded that
Tanzania is bigger than Jakaya Kikwete or Wilbroad Slaa. If it is the
will of the people of Tanzania to return Kikwete to power through
majority vote, so be it. However, if the same Tanzanians decide that the
moment for regime change is now; their decision must be respected by
those in power including the armed forces.
As an East African, I need a peaceful and prosperous Tanzania; not a chaotic one.
Okungu is the CEO of Kenya-Today in Nairobi
UCHAGUZI TANZANIA BILA VURUGU INAWEZEKANA, BILA PANYA ROAD INAWEZEKANA ZAIDI. TUITUNZE AMANI TULIYONAYO.
UCHAGUZI 2015 TANZANIA imekuwa na jukwaa kubwa linalotumia tovuti mbali mbali ukilinganisha na miaka ya nyuma katika chaguzi.
USHAHIDI unaonyesha kwamba kuna Idadi kubwa ya Kampeni zinazofanywa kupitia zana za kiteknolojia za simu za mkononi, Mitandao ya Kijamii na hivyo kuwezesha ushirikiano ambao haukuwahi kuwepo kati ya waangalizi wa uchaguzi na raia katika kuendesha na kunadi sera mbali mbali za Wagombea .
kusimamia uchaguzi katika muda unaokaribiana na wakati halisi ni jukumu la Tume ya Taifa ya Uchaguzi. uchaguzi wa Tanzania unatarajiwa kufanyika Mwishoni mwa Mwaka huu , na litakuwa jambo la kufurahisha kuona jinsi zana hii inayowika itakavyochagiza upatikanaji taarifa katika tukio hili la Kipekee.
uchaguzi wa Tanzania na jumuiya inayokua ya teknolojia:
Hivi sasa kuna nyenzo ya kiteknolojia ya Ushahidi ili kuripoti matukio
ya vurugu, fujo na mapigano katika tayari kwa ajili ya uchaguzi
Unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Unaweza pia kutuma maombi ya kuwa mfasiri wa
kujitolea na mthibitishaji kupitia Fomu hii ya BALOZI WA DEMOKRASIA TANZANIA. wakati tunaelekea kwenye Uchaguzi mkuu, moja ya kura za maoni zungumzia nafasi nzuri kushinda kwa chama ama Kiongozi.
Bila kuwepo na upendeleaji wa chama
chochote katika uchaguzi lakini ni matumaini yetu kwamba uchaguzi
utaendeshwa kwa amani na Utulivu.
Ni matumaini yetu pia kwamba rafiki wa nchi ya
Tanzania ni wewe, Watanzania na wengine kama mataifa ya Wamarekani na Dunia nzima kwa ujumla, wote watakuwa salama kuhakikisha Tanzania inazidisha Amani na Utulivu.
UCHAGUZI ni msukumo wa pamoja kati ya
TACCEO, Tanzania; HIVOS, Uholanzi; Haki Elimu, Tanzania; Jumuiya kubwa
zaidi ya TEKNOHAMA nchini Tanzania – Jamii Forums, Tanzania; TWAWEZA ya
Rakesh Rajani, CRECO ya Kenya kwa kushirikiana na USHAHIDI na SODNET za
Kenya zote kama washirika wa kimkakati katika teknolojia.
Tanzania Election
On October 31, Tanzanian people will go to the polls and place their
votes. With national elections just around the corner, the candidates
and their supporters are busy campaigning and explaining their platforms
to the voters.
It is an exciting time for our country, as we are embracing democracy. There are more political parties, like the AFP and TADEA. The media has been advertising the importance of voting and educating people about how to cast their votes. Candidates also have had equal access to the media in their campaigns, and every candidate has had the opportunity to publicly introduce themselves and their ideas to the people. Perhaps the best news is that, unlike in elections past, there has been no political violence and people have been campaigning in peace.
In past election years, there was political violence in Zanzibar as people prepared for the elections, but not this time. All of the campaigning has been peaceful and secure.
These are good signs for our country, because it shows that our people are embracing democracy and becoming involved in the political process.
Campaigning officially ends on October 30. On October 31, the Tanzanian people will choose their new leader. We all hope that it is someone who is fairly elected and who will bring development to our country. Above all, we all hope that our elections are as peaceful as the campaigns have been.
God bless Tanzania and its islands.





It is an exciting time for our country, as we are embracing democracy. There are more political parties, like the AFP and TADEA. The media has been advertising the importance of voting and educating people about how to cast their votes. Candidates also have had equal access to the media in their campaigns, and every candidate has had the opportunity to publicly introduce themselves and their ideas to the people. Perhaps the best news is that, unlike in elections past, there has been no political violence and people have been campaigning in peace.
In past election years, there was political violence in Zanzibar as people prepared for the elections, but not this time. All of the campaigning has been peaceful and secure.
These are good signs for our country, because it shows that our people are embracing democracy and becoming involved in the political process.
Campaigning officially ends on October 30. On October 31, the Tanzanian people will choose their new leader. We all hope that it is someone who is fairly elected and who will bring development to our country. Above all, we all hope that our elections are as peaceful as the campaigns have been.
God bless Tanzania and its islands.





kwamba kutokuwepo kwa vurugu katika kampeni za uchaguzi mwaka 2010 Tanzania Bara na Zanzibar ni ushahidi kwamba watu wameanza kuipokea na kuielewa demokrasia:
Nyakati za uchaguzi katika miaka iliyopita, kulikuwa na vurugu za kisiasa huko Zanzibar wakati watu walipokuwa wanajiandaa na uchaguzi, lakini si hivyo safari hii. Kampeni yote imekuwa ya amani na usalama. Hizi ni dalili njema kwa nchi yetu, kwa sababu inaonyesha kwamba watu sasa wameanza kuipokea DEMOKRASIA na kwamba wameanza kujishirikisha katika mchakato wa kisiasa.
Kampeni zitakoma rasmi tarehe 30 Oktoba 2010. ambapo Oktoba 31, Watanzania walipiga kura kumchagua kiongozi wao aliyepo Madarakani mpaka walati huu wa Mwaka wake wa Mwisho. Sisi sote tuna matumaini kwamba ametuongoza vyema ukiondoa habari za Ushabiki wa Kisiasa, kiongozi aliyechaguliwa kwa haki na aliyeiletea nchi yetu maendeleo makubwa katika nyanja mbali mbali. Zaidi ya yote ni Amani inapokuwa inatawala inazidi Raslimali yoyote katika nchi yenye Machafuko, hivyo sote tuna matumaini makubwa kwamba uchaguzi huu wa 2015 utakuwa wenye utulivu kama zilizovyokuwa katika uchaguzi uliopita na hata wakati wa kampeni.
Mungu aibariki Tanzania na Visiwa vyake.
Government threatens press in pre-election Tanzania
Incumbent Tanzanian President Jakaya Kiketwe during rally in September. (AP)
All eyes are on the contest between incumbent President Jakaya Kikwete of the ruling Chama cha Mapinduzi (CCM), or "Party for Change," and a surprisingly successful challenger, Dr. Wilbroad Slaa from the Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), or "Progressive Democratic Party."
Kikwete, who won the 2005 elections with a landslide 80 percent of the
vote, has seen his popularity plunge this month to 38 percent, according
to Tanzanian polls. "Slaa has emerged as an unexpected presidential
candidate and his message of change is resonating with voters anxious
for a new direction," political commentator Azaveli Lwaitama told Reuters.
Whether the Tanzanian press feel at liberty to cover this tight race is
another matter. Critical reporting on the government during this
sensitive time appeared risky after Ministry of Information Permanent
Secretary Sethi Kamuhanda toured print media offices earlier this month,
threatening
to shutter any media house that "put the government in a bad light,"
state television reported. More than 50 human rights and media
organizations issued a joint statement last week, claiming the government has threatened the press in advance of the forthcoming elections.
Since polling began, the Registrar of Newspapers,
a government-run licensing agency, has been busy issuing letters to
newspapers, warning against any negative coverage of the government,
local journalists told CPJ. Three private weeklies, Mwanahalisi, Raia Mwena, and Tanzania Daima have all been warned by the Registrar to avoid coverage deemed "inciteful" by the government or face suspension.
"Such kinds of threats have been common from the Registrar of
Newspapers, whom the minister [of information] uses as a means to
enforce self-censorship," the chairman of the Tanzania Editors' Forum,
Absalom Kibanda, told me.
The country's leading Kiswahili daily, Mwananchi, received two letters from the Registrar recently threatening to suspend the paper for negative government coverage, Managing Editor Theophil Makunga told me.
"For quite a long time now and during this election campaign period, in
particular, your newspaper has been writing negative stories about the
government," one of the Registrar's letters claimed. "Should you
continue publishing the articles, the government will not hesitate to
suspend or deregister your newspaper as per the laws of the land." The letter was signed by the Registrar's deputy director, Raphael Hokororo. Mwananchi
is considered the most balanced and professional newspaper in the
country and commands the highest readership, which makes this threat
particularly troubling, the former Tanzania Editors' Forum chairperson,
Sakina Datoo, told me.
The Registrar's letters to Mwananchi alleged that the paper had
denigrated the government but provided no examples of material the
authorities deemed offensive, Makunga said. "The Registrar has no
argument at all," he told me. "That's why they use sweeping, generalized
statements in their allegations." Since the presidential campaigns
started on August 20, Makunga said, his paper has not received a single
complaint from any of the political parties participating in the race.
Makunga fears the ruling party may shut down his paper using the vague
allegations put forth in the Registrar's letter. "It's a sign of
desperation on the side of the CCM. They believe if Mwananchi continues
to report objectively, CCM candidates will lose votes," he said. The
paper has filed a complaint with the independent press ombudsman, the Media Council of Tanzania.
But Hokororo, the Registrar's deputy director, told me that the
Mwananchi staff has exaggerated the issue. "The letter was supposed to
be a private letter but they published it to get media attention. It was
a warning, not a threat as they have portrayed it," he said.
Recent warnings aside, the Tanzanian government has reams of anti-press legislation
it can dangle above the media's heads to ensure self-censorship. The
Newspaper Act of 1976, for instance, allows the information minister
wide discretionary powers to ban newspapers.
"It gives the minister powers to close down any newspaper for
'inciting'. Since the term is not defined, it's up to the minister to
interpret it as he or she wants," Datoo said.
Investigative reporting on any area the government considers classified
is a punishable offense under the National Security Act. Later laws,
such as the Civil Service Act and Public Leadership Code of Ethics Act,
block access to information for journalists. The media laws in Tanzania
"force all media to practice public relations and avoid investigative
journalism," media analyst and Saut FM Producer Dotto Bulendu told me.
Saut FM,
a private station attached to St. Augustine's University, has faced its
own challenges trying to cover the elections. Bulendu told me that he
and Edwin Soko, a Saut FM reporter, received anonymous threats last
month via text message accusing them of negative reporting on the ruling
party.
"The messages threatened to kill us if we continued to work at the
station," he added. But the threats were somewhat misplaced; the Tanzanian Communications Regulatory Authority (TCRA)
had already taken the station off the air in August. The Authority's
public relations manager, Innocent Mungy, told me Saut FM had been
closed on purely technical grounds because the radio signals interfered
with aircraft communications.
Bulendu is skeptical of the TCRA's findings. The station, he noted, has
operated since 1997. "Why would we have signal interference problems now
and not before?" he demanded. "Why just before the elections?" And he
has little recourse: the 1993 Broadcasting Act empowers the TCRA to shut
down any station at any time, he added. He hopes Saut FM will be back
on the air this week, just days before the poll results.
Over the years, press freedom monitors, including CPJ, have not
identified many cases of Tanzanian authorities attacking the press,
which makes the country appear to have a better media freedom record
than many East African nations. But what happens in Tanzania is
something more insidious: Thanks to the country's sweeping anti-press
laws, the threat of closure by authorities is enough to curtail any
wayward critics. For a ruling party facing a tight presidential race,
that's a formidable advantage.
Subscribe to:
Posts (Atom)







