Sunday, May 15, 2016
Saturday, May 14, 2016
MFUKO WA PENSHENI WA PPF WATOA MFANYAKAZI BORA WA MWAKA 2015, RAIS MAGUFULI AMKABIDHI CHETI NA KITITA CHA SH. MILIONI TANO
MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO ATUNUKU VYETI KWA WASHIRIKI WA KAMPENI YA SIKU 10 YA USAFI KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO (KINAPA)

Washiriki wa zoezi la usafi katika Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Said Mecky Sadick huku wakionesha vyeti walivyotunukiwa baada ya kufanikisha zoezi hilo.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro akiliongoza kundi la watu waliopanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kufanya usafi muda mfupi baada ya kurejea kutoka katika kilele cha mlima huo.
NSSF YADHAMINI SIKU YA MADANSA DUNIANI
YANGA YAANGUKIA PUA, YACHAPWA 3-1 NA SIMBA UGHAIBUNI
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson Masilingi akikabidhi kombe kwa nahodha wa Simba Bagasa
Mhe.
Balozi Wilson Masilingi na mkewe Marystela Masilingi wakiwa katika
picha ya pamoja na Timu ya Simba walioibamiza Yanga kwa bao 3-1 mechi
iliyoanaliwa na DICOTA 2016 Dallas Texas.
Kokosi cha Yanga Ughaibuni.

MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI, WCF, WASHIRIKI SHEREHE ZA MEI MOSI KWA MARA YA KWANZA
Subscribe to:
Posts (Atom)






Mwili wa mke wa aliyekuwa rais wa Kenya Mwai kibaki , mama Lucy Kibaki
ukiwasili kwa ajili ya maziko hapo jana katika eneo la Bunge la Odhaya
kaunti ya Njeri,mjini Nairobi nchini Kenya.
Rais
Mstaafu wa Tanzania Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Rais Mstaafu wa
Kenya Mh.Mwai Kibaki kufuatia kufiwa na mke wake mpendwa Mama Lucy
Kibaki mjini Nairobi,nchini Kenya anaeshuhudia kulia ni Rais wa
Kenya,Uhuru Kenyatta.


Bwana harusi Samwel Milego na Bi. Florida Kahatano wakionyesha vyeti
vyao mara baada ya kumaliza kufunga ndoa yao takatifu Jerusalem church
of God lililoko Yombo Vituka jijini Dar es Salaam Jumamosi Aprili 30,
2016. PICHA ZOTE NA CATHBERT KAJUNA WA KAJUNASON BLOG.















